MUDA MZURI WA MWANACHUO KUTENGENEZA PESA.
Ndugu habari za siku, leo aidan napenda kuzungumza na wewe
mwanachuo napenda kuzungumza na wewe kwenye swala zima la fedha ni wakati gani
wewe unaweza tengeneza kipato chako mwenyewe.
Mpaka unafikia umri wa kuingia chuo ni hakika tosha ya kuwa
wewe ni mtu mzima unaepaswa kuanza kujitgemea kwa namna moja ama nyingine.
Wanachuo wengi wanatamani sana na wanapenda sana kutengeneza
pesa lakini wanalalamika muda unawabana kwangu mimi hii sio kweli.
Katika hesabu ya muda kwa siku ni masaa 24 dakika 1440 na sekunde 86400 hii
ni kwa dunia nzima, hakika mungu alitoa zawadi hii kwa usawa sana wazungu
pamoja na welevu wao lakini hawajawahi fanya hii kitu kwa kuibadirisha,
kwahiyo kama muda haukutoshi hapa chuoni
sijui huko mtaani.
Ndugu yangu ningependa sana utambue ya kuwa muda mzuri wa
wewe kutengeneza pesa ni muda ambao upo chuoni ukatae usikatae huu ndio muda
sahihi sana kwako “niulize kwanini”
Nakujibu ”kwasababu” mzunguko wa pesa chuoni ni mkubwa sana na
wa muda mfupi kuliko mzunguko wa mtaani kwenu pili msukomo wako wa maisha (presure)
ukiwa chuoni ni ndogo kuliko ukiwa mtaani, tatu thamani yako wewe kama
mwanachuo ni kubwa kuliko unapohitimu, nne ratiba yako ya maisha inakuwa na
vipaumbele Zaidi ya mtaani, tano kupata mtaji ukiwa chuoni ni uhakika tofauti
na ukiwa nyumbani.
Sababu zipo nyingi kama hizo hazijakutosha kukushawishi
nifate whatsapp tushauriane nini cha kufanya tambua kuwa kama unapata mkopo na
haukuingizii kipato upo kwenye hali ngumu karibu sana nikushauri nini cha kufanya. nitafute namba 0762679204.
©Aidan Mponeza
mwandishi//mshauri//mhamasishaji//mshairi//rafiki yako.
mwandishi//mshauri//mhamasishaji//mshairi//rafiki yako.
Leave a Comment