HATUA KUMI YA KUBORESHA NGUVU BINAFSI ULIYOPEWA NA MUNGU
Rafiki wa mtandao wa fikia lengo na aidan mponeza hongera
kwa siku nzuri ya leo maana hi indo mbegu ambayo inaweza kuotesha ndoto zako na
zangu zikastawi vizur kwahiyo tumshukuru
mungu kwa hilo.
Rafiki naomba utambue kwamba kila mmoja wetu hapa duniani anayo
nguvu binafsi ndani yake ambayo ndio inaweza kumtofautisha na mwingine
isingelikuwa huo ubinafsi alio nao kila mmoja wetu basi binadamu wote
tungelifanana kwa kila kitu labda tunge tofautiana sura lakini ule ubinadamu
tungekuwa sawa kwahiyo leo rafiki napenda kukushirikisha hatua kumi za
kuboresha au kuibua nguvu binafsi uliyopewa na mungu.
- Tafuta sababu Zaidi kuliko kutafuta uhalisia;(NGUVU YA KIROHO).
tafuta sababu wewe ni nani,
unamtumikia nani, tafuta sababu kwanini umezaliwa Tanzania kwenye kutafuta
sababu utapata chanzo cha jibu na hatua za kuchukua mfano tafuta sababu kwanini
wewe ni maskini, kwanini unasomea hiyo taaluma, lakini ukitafuta uhalisia
kwanini wewe ni maskini uhalisia utakujibu ni kweli wewe ni masikini lakini
hautakupa sababu.
2
2.Fanya machaguo kila siku;(NGUVU YA KUCHAGUA ).
Rafiki naomba uelewe kwamba kuna machaguo ya aina mbili ambayo ni machaguo
mabaya na machaguo ya aina mbili mfano kila shilingi inayopita mkononi mwako inao uwezo wa
kukuboresha kiuchui lakini unapokuwa na mia tano ukachagua kuinunua vocha kwa
ajili ya kufatilia udaku wa mitandaoni jua umefanya machaguo mabaya. Cha muhimu rafiki usijikute umefanya bali
chagua kufanya.Chagua marafiki kwa uangalifu;(NGUVU YA
USHIRIKIANO) .ni kweli dunia ya leo uwezo ukafanikiwa bila ushirikiano na wenye nguvu ya
ushirikiano huo ni rafiki zako kama huna marafiki amua kuchagua leo na kuwa
mwangarifu maana kikulacho kinguoni mwako.
4. Tambua kanuni itakayo kuongoza na jifunze kitu
kipya;(NGUVU YA KUJIFUNZA HARAKA).
Ukweli ni kwamba kama maisha yako hayana kanuni utakuwa ni mtu wa kutakakujifunza kila linalokuja mbele yako na utachelewa kujifunza kwa sababu hauna kanuni ya kukuongoza lakini ukiwa na kanuni kila linalokuja utalipima na kanuni zako kama linastahili ama lah.
Ukweli ni kwamba kama maisha yako hayana kanuni utakuwa ni mtu wa kutakakujifunza kila linalokuja mbele yako na utachelewa kujifunza kwa sababu hauna kanuni ya kukuongoza lakini ukiwa na kanuni kila linalokuja utalipima na kanuni zako kama linastahili ama lah.
5. Jilipe mwenyewe kwanza.(NGUVU YA HESHIMA BINAFSI.)
kuwa na uwezo wa kujilipa wewe kwanza kwa kila unalolifanya anza kwa kujilipa kuanzia muda wako kabla ujamlipa mwajili wako jilipe mwenyewe kipato chako kabla ya kuulipa mwili wako hii inakujengea kuwa na heshima binafsi juu ya kila kitu.
kuwa na uwezo wa kujilipa wewe kwanza kwa kila unalolifanya anza kwa kujilipa kuanzia muda wako kabla ujamlipa mwajili wako jilipe mwenyewe kipato chako kabla ya kuulipa mwili wako hii inakujengea kuwa na heshima binafsi juu ya kila kitu.
6. Walipe vizuri mawakala wako. (NGUVU YA USHAURI)
Kwanza elewa kwamba kila mtu anae wakala
kwa mfano wewe mwanafunzi wakala wako anaweza kuwa ni mwalimu wako nawe mwalimu
wakala wako anaweza kuwa mwanafunzi wako, pia wale wenye familia wakala wako
anaweza kuwa mkeo au mmeo pia hata watoto wako kwa wale wanaofanya biashara
wakala wako ni huyo msaidizi wako kwenye biashara. Kwahiyo ndugu yangu jitaidi
kuwalipa vizuri ili upate ushauri wowote kutoka kwao na elewa kwamba malipo sio
lazima pes ahata utu wako na kuwapa muda wako ni malipo tosha.
7. Toa Zaidi;(nguvu ya kupata kitu pasipo kuwa na
kitu).
Ni ukweli kwamba ili upate laima utoe kwa mfano unaweza ukawa na taaluma juu ya jambo Fulani kwahiyo ili upate pesa nilazima utoe hiyo taaluma Zaidi na mungu atakubaliki Zaidi kama ni mwalimu fundisha sana kama ni mshauri shauri sana.
Ni ukweli kwamba ili upate laima utoe kwa mfano unaweza ukawa na taaluma juu ya jambo Fulani kwahiyo ili upate pesa nilazima utoe hiyo taaluma Zaidi na mungu atakubaliki Zaidi kama ni mwalimu fundisha sana kama ni mshauri shauri sana.
8. Tumia faida kuwekeza Zaidi na kununua hanasa(NGUVU
YA LENGO LAKO).
Ili kufikia lengo lako haupaswi mtaji ununue hanasa mfano moja ya mtaji wako ni
mshahar uanaopata kwa vile mshahara ni kama mtaji tumia kuwekeza Zaidi na
kamwe mshahara usinunue hanasa kama gari nguo a sikukuu nakazalika hii
itakusaidia kufikia lengo lako.
9. Chagua mashujaa wako;(NGUVU YA HADITHI).
Lazima uwe na shujaa wako ambao ndo watakua hadithi kubwa kwako hadithi ya safari zao ndo zaweza kuwa mwanga wa kukuongoza katika safari yako kwa mfano kama unataka kuwa mwandishi wa hadithi shujaa wako anaweza kuwa shigongo elewa kunakili kutoka kwa shujaa wako ni njia ya kweli ya kujifunza.
Lazima uwe na shujaa wako ambao ndo watakua hadithi kubwa kwako hadithi ya safari zao ndo zaweza kuwa mwanga wa kukuongoza katika safari yako kwa mfano kama unataka kuwa mwandishi wa hadithi shujaa wako anaweza kuwa shigongo elewa kunakili kutoka kwa shujaa wako ni njia ya kweli ya kujifunza.
10.
Fundisha na utapata;(NGUVU YA KUPATA).watu wapo tayari kupata kile ulichonacho kama ukiwafundisha na kama vina
thamani wapo tayari kukulipa kwahiyo usiwe na choyo toa elimu ya ulichonacho.
h hizi ndo atua kumi za kuboresha kile ulichonacho ndani yako naomba tukutane tena kwenye makala inayofuata ni mimi mwandishi wako aidan mponeza.
mwandishi AIDAN MPONEZA
SIMU NO; 0762679204
EMAIL KWA USHAURI NA MAONIaidanmponeza@gmail.com
mwandishi AIDAN MPONEZA
SIMU NO; 0762679204
EMAIL KWA USHAURI NA MAONIaidanmponeza@gmail.com
Leave a Comment